Posts

Image
                                     This is Simba This is Simba #SimbaYetu #MwakaWetu Baadhi ya wanachama wa klabu ya Simba wakiwa ndani ya Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu J. K Nyerere tayari kwa Mkutano Mkuu wa leo #SimbaYetu #MwakaWetu Baadhi ya wanachama wa klabu ya Simba wakiwa ndani ya Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu J. K Nyerere tayari kwa Mkutano Mkuu wa leo

Tottenham vs Real Madrid, 2017 Champions League: Predicted lineups, team news and prediction

Image
Real Madrid visit Wembley to face Mauricio Pochettino’s Tottenham just three days after suffering a shocking defeat in Girona, one which could very well end Madrid’s chances at winning La Liga just ten games after Los Blancos began their defense of the title. Furthermore, Madrid will need a good result this Wednesday. Tottenham managed to complete a good game at the Santiago Bernabeu and deserved the 1-1 draw they earned. That match puts Los Blancos in a tough spot as they must beat Tottenham if they want to control their own destiny in the Champions League group stage. There’s no need for Zidane and the coaching staff to push the panic button just yet as Dortmund’s mediocre European campaign all but clinches Madrid a spot in the Round of 16, although it’s clear that Los Blancos should be trying to win their group. Real Madrid predicted XI: Casilla, Achraf, Nacho, Varane, Marcelo, Casemiro, Kroos, Modric, Asensio, Ronaldo, Benzema. Out: Carvajal, Bale, Kovacic, Varane, Keylor Navas....

aS Roma matatani

Image
Klabu ya Roma imeshitakiwa na UEFA baada ya baadhi ya mashabiki wake kusikika wakiimba nyimbo zenye ujumbe wa ubaguzi wa rangi kwa kumwita Nyani mlinzi wa Chelsea Antonio Rudiger. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani aliingia dakika ya 77 kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa siku ya Jumatano ambapo mchezo huo ulimalizika kwa matokeo ya 3-3 kwenye dimba la Stamford Bridge. Kesi hiyo itasikilizwa na kutolewa maamuzi Novemba 16 mwaka huu na Kamati ya UEFA ya Udhibiti wa Maadili na Nidhamu. Rudiger, mwenye umri wa miaka 24, amehamia Chelsea kutoka Roma kwenye usajili wa majira ya joto mwaka huu. Kabla ya kuhamia Uingereza kwa gharama ya £ 29m, Rudiger alisema ubaguzi wa rangi katika mechi za mpira wa miguu ni tatizo kubwa nchini Italia.

TOP SCORERS KWENYE LIGI KUU YA ENGLAND

Image

Seven matches down, the #PL table as it stands...

Image

Serikali yampiga marufuku msanii Bobi Wine kufanya interview

Image
Tume ya mawasiliano nchini Uganda (UCC) imepiga marufuku kwa vyombo vya habari nchini humo kufanya 'interview' na mwanamuziki Bobi Wine, baada ya kuonekana kinara kwenye suala la kupinga ukomo wa urais nchini humo. Taarifa hiyo imetolewa na mwenyewe Bobi Wine ambaye pia ni mbunge wa upinzani nchini humo kwenye ukurasa wake wa instagram akisema kuwa amepigiwa simu na baadhi ya vyombo vya habari nchini humo na kuthibitisha suala hilo, kuwa wamepigwa marufuku kufanya naye mahojiano yoyote. "Hii asubuhi nilitakiwa kufanya mahojiano na Capital FM, baadaye nikataarifiwa kuwa wamepewa agizo na UCC na kupigiwa simu na watu wa usalama kwamba wasiwe na mimi, nikapigiwa simu na vituo vingine vya redio na runinga na kunithibitishia wamepewa agizo hilo hilo na kwa vitisho, na iwapo watakuwa na mimi watakuwa katika hatari ya kufungiwa", ameandika Bobi Wine. Bobi Wine ameendelea kuandika akisema kwamba.. "Iwapo unaangalia dalili za kuanguka kwa serikali usiendelee tena, huu...

NEWS

Image
Mshambuliaji wa Man City Sergio Aguero amevunjika mbavu baada ya kupata ajali ya gari huko Amsterdam,Uholanzi usiku wa kuamkia leo.